Flora Mbasha anatoa salaamu za pole kwa ndugu jamaa na marafiki na watanzania wote kwa msiba uliotupata wa kuondokewa na msanii Steven Kanumba. Sisi tulimpenda lakini Bwana ampenda zaidi. Bwana ametoa na Bwana ametwaa. Katika kipindi hiki kigumu cha maombelezo tunajifariji na wimbo huu.
Jina la Bwana libarikiwe.
- Flora Mbasha

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Our dearest Kanumba, you will be missed dearly. May God rest your soul in peace. We hope that those whom you featured in your movies in one way or another will carry on your superb acting spirit and talent to flawlessness.

    Our love and prayers be with you forever.

    Yours Big and now a sad fan,

    Chacha

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...