ELIGRETA RAYMOND (Mama Niwajwa).
1936 – 2011

Mama Mpendwa,Zimepita Siku, Miezi na leo hii 30.4.2012 imetimia mwaka mmoja toka tulipokupumzisha katika nyumba yako ya milele. 

Ingawaje umetutoka kimwili, Kiroho bado tuko pamoja. Tunasikia sauti yako ya upole ikiita na kutufariji kama vile kuku akumbatiavyo viranga vyake. Hakika pengo ulilolicha halitazibika.

Unakumbukwa sana na watoto wako,kaka zako, wakwe zako, wajukuu wako ndugu jamaa na marafiki.

“Bwana alitoa na Bwana ametwaa"

The Raymond’s Mchani Family (Kisangara Mwanga Kilimanjaro)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 01, 2012

    safi sana mama endelea kupumzika kwa raha huko peponi,tupo sisi bado tunapambana na mafisadi, tuombee na safari hii tutawamaliza tu,maadam tuna watu kama Zitto Kabwe. Zebedayo wa Mwanza.na matangazo ya tanzia jamani yawe hivi ,mwaka wa kuzaliwa na mwaka wa kuondoka.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...