Mabondia Maneno Osward (kushoto) na Rashidi Matumla wakioneshana ufundi wa kutupa masumbwi wakati wa mpambano wao wa kugombea ngao ya pasaka iliyotolewa na ukumbi wa Dar LIve.  Maneno alishinda kwa pointi
 Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Temeke, Afande Thomas Sedoyeka  na Mratibu wa burudani katika Ukumbi wa Dar Live Juma Mbizo wakimpatia ngao ya pasaka. Bondia Maneno Osward baada ya kumdunda Rashidi Matumla kwa pointi Dar es salaam jan
Bondia wakike Furaha Nganda kulia akimsukumizia masumbwi mfururuzo bondia Jamuhuri Saidi wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar LIve jijini Dar es salaam jana Nganda alishinda kwa point.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. safi saaaana oswald kwa kumdunda huyu matumla kila siku ni wao tuu utadhani hakuna mabondia wengine, endeleeni kuwapa kichapo hadi wasambaratike, unataka sura mpya!

    ReplyDelete
  2. hivi hawa kina OSwald na Matumla wataastaafu lini?
    hili pambano la Furaha vs Jamhuri ni dume vs jike? Naomba jibu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...