Mbunge wa jimbo la Ludewa mkoani Njombe Deo Filikunjombe akimkabidhi kombe kepteni wa timu ya Mapogolo Mathayo Ndendia baada ya timu hiyo kufanikiwa kuichapa Milo kwa jumla ya goli 2-1 katika mchezo wa fainali ya kombe la Filikunjombe. Kwa mapicha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Tuhongiche ankali. At least nimewaona wapangwa wenzangu kwenye globu ya jamii. Walamukha wote kunyumba filipokunjombe

    ReplyDelete
  2. KOMBA L. HApril 14, 2012

    VERY NICE FOR YOUR SUPPORT ON SPORTS (DEO FILIKUNJOMBE) UNASAIDIA SAAANA KUKUZA KIPAJI CHA SOKA IN OUR DISTRICT.., I HOPE ONE DAY YOU'LL INVITE THE OLD FOOTBALL CLUB LIKE SIMBA SC. OR YANGA SC. TO PLAY WITH OUR YOUNG PLAYERS FOR ENRICHING THE BETTER FOOTBALL EXPERIENCIES. I LIKE YOUR LEADING SYSTEM OF INTERACTION WITH YOUR RESIDENTS IN VARRIOUS DAILY LIFE ISSUES.

    MAPOGORO HONGERENI KWA KUCHUKUA KOMBE HILO, ILA MILO MMETUANGUSHA KWA KUFUNGWA MKIWA NYUMBANI!!!!.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...