![]() |
Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi akiweka udongo kaburini alipoongoza mazishi ya Inspekta Jenerali wa Polisi Mstaafu Harun Mahundi leo katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam |
Mazishi ya Inspekta Jenerali wa Polisi Mstaafu Harun Mahundi leo katika makaburi ya Kiondoni jijini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...