Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mbona hatupewi taarifa za BABA YAKE MZAZI wa Steve? natoa hoja.

    ReplyDelete
  2. NILITEGEMEA LEO INGETANGAZWA KUWA NI SIKU YA MAPUMZIKO KWA AJILI YA KUMZIKA HUYU MAREHEMU MAANA HESHIMA ANAYOPEWA HAINA TOFAUTI NA YA KIONGOZI WA SERIKALI.

    ReplyDelete
  3. KIJANA ALIKUWA NI 'MTU MKUBWA KIJAMII' NI MUHIMU KUKUBALI UKWELI HUU.

    Linalosikitisha, ni kuwa licha ya suala la KIFO NA MATOKEO YOTE KIMAISHA KUWA MIPANGO YA MOLA, bado hisia zetu za kibinaadam zinagota katika tuhuma dhidi ya 'mtu' au 'watu kadhaa' kuhusika na matokeo haya.

    Kwa vile mara zote baada ya mtu kuhangaika na kutafuta ikapelekea kuwa Umejaaliwa na mafanikio katika MAISHA kinachofuata ni kukwamishwa au kuzimwa kabisaaa !

    NI MTAZAMO WANGU TU.

    ReplyDelete
  4. wewe mtoa maoni wa pili, acha zako za wivu, je ? hukuona maziko ya Whitney Huston ? au M Jackson ? mbona hukukomenti lolote kwa hao , leo huyu mtu wa kwenu ,unachonga domo. Zebedayo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...