Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi (kulia) akizungumza na Waandishi wa Habari (Hawapo pichani) wakati akitoa tamko la Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dodoma kuhusu mustakabali wa Amani, Ulinzi na Usalama katika kipindi cha Mikutano yote ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kushoto ni kaimu Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Betty Mkwasa.
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa (Hayupo pichani).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...