Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na Balozi wa Sudan nchini, Dkt. Yassir Mohamed Ali  kabla ya mazungumzo yao, Ofisini kwake jijini Dar es salaam leo.
  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Balozi wa Sudan nchini, Dkt. Yassir Mohamed Ali, Ofisini kwake jijini Dar es salaam
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika kikao cha  Kutia Saini Mkataba wa Makubaliano (MOU) kati ya Serikali na Kampuni ya Jain Irrigation System Limited ya India, Ofisini kwake jijini Dar es salaam leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Sudan ipi? Jamani tuwe makini, kuna Sudan ya kaskazini na Kusini ni nchi mbili tofauti.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...