Washiriki wa kinyang'anyiro cha Redd's Miss Ustawi wa Jamii 2012 wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mwalimu wao,Mary Boniface (katikati) wakati wa mazoezi ya kujiandaa na shindano lao linalotaraji kufanyika siku ya ijumaa (Mei,4 2012),ukumbi wa Maisha Klab jijini Dar es salaam.
Warembo wa Redd's Miss Ustawi wa Jamii 2012 wakiwa kwenye pozi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...