Mkufunzi wa mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji kutoka kampuni ya Bia Tanzania kupitia Bia ya Safatri Lager, Masudi Kandoro (kushoto) akifafanua jambo wakati wa semina ya mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji kutoka mikoa mbalimbali inayoendelea katika Hoteli ya Johanasbarg Sinza jijini Dar es Salaam.
Mkufunzi wa mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji kutoka kampuni ya Bia Tanzania kupitia Bia ya Safatri Lager, Rahel Emanuel(kulia) akifafanua jambo wakati wa semina  ya mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji kutoka mikoa mbalimbali inayoendelea katika Hoteli ya  Johanasbarg  Sinza jijini Dar es Salaam.
Mratibu wa mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji kutoka kampuni ya Bia Tanzania kupitia Bia ya Safatri Lager, Kelvin Muganyizi akifafanua jambo kutoka kwenye picha wakati wa semina  ya mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji kutoka mikoa mbalimbali inayoendelea katika Hoteli ya Johanasbarg Sinza jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa semina ya mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji kutoka mikoa mbalimbali wakisikiliza mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji yanayoendeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania kupitia Bia ya Safatri Lagerwakati wa semina inayoendelea katika Hoteli ya Johanasburg Sinza jijini Dar es Salaam.
Washiriki wa wa wa semina ya mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji kutoka mikoa mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja wakati mafunzo ya Ujasiliamali ya uwezeshaji yanayoendeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania kupitia Bia ya Safatri Lagerwakati wa semina inayoendelea katika Hoteli ya  Johanasbarg  Sinza jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Samahani lakini siyo ujasiliamali bali ni UJASIRIAMALI

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...