Wanafunzi wa Wanasoma Shahada ya Kwanza ya Sosholojia Ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) walipowasili katika hospitali ya wagonjwa wa akili ya Milembe iliyopo Dodoma kwaajili ya Kuwatembelea na Kukabidhi misaada yenye thamani ya Jumla ya Shiling aki tano na nusu. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Bongo raha sana, natamani ningesoma chuo nyumbani na kujuana na wenzangu tunaosoma kozi moja na kurahisisha usomaji na uelewa. hizi tabia za hawa jamaa kuchagua masomo unakuta darasa zima kozi tofauti wala mda wa kufahamiana na wenzako huna, kila darasa unaloingia sura tofauti ya itakapofika muhula mwingine unakutana na watu tofauti tena.. acha tuwe na upendo na ushikamano hata kama bado tu nchi masikini

    ReplyDelete
  2. kumbe hili swala la kujipangia ratiba huku nchi za wageni linatugusa wengi

    ReplyDelete
  3. Wewe mchangiaji wa kwanza uko sahihi. Lakini ni kwa degree programs kama hii ya hawa walioenda kutoa zawadi na nyingine za 'arts'. Lakini kwa programs za sayansi, elimu ya bongo iko nyuma hatua 1 000 000 000 000 000, kulinganisha na elimu ya vyuo bora duniani. Kwa hiyo kwa sayansi ukisoma bongo utafurahia kuchat na marafiki, na baada ya miaka yako unapewa cheti bila kuwa na ujuzi.

    Mimi nina experience na hili, kuna wanafunzi wa Ph.D toka engineering UDSM walikuja Sweden kwa ajili ya kufanya course ili kuwaongezea uelewa wa topic zao za research. Course zenyewe zilikuwa za masters. Kwa hiyo walifundishwa pamoja na wanafunzi wa masters, lakini hakuna aliyefaulu hata course moja kati ya tatu walizochukuwa (walipata chini ya alama 15 kwa 48). Sasa hao kwa sasa ni madaktari (Ph.D holders). Ikiwa uwezo wao uko chini ya level ya masters kwa hapa Sweden, unategemea watampa ujuzi gani mwanafunzi wa kitanzania??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...