Dereva wa Daladala lifanyalo safari zake kati ya Mwenge - Kariakoo alijaribu kumpiga somo ili waweze kumalizana na dereva wa gari ndogo aina ya Toyota Noah (kushoto) baada ya kumpiga pasi wakati Daladala hilo likitoka kituoni maeneo ya Kinondoni Studio,jijini Dar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...