Redd's Miss Njiro 2012,Anitha Mbowe (katikati) akiwa na Mshindi wa Pili,Winmava John (kulia) na wa Tatu,Husna Ally mara baada ya kumalizika kwa kinyang'anyiro hicho muda mfupi uliopita katika Ukumbi wa Klabu Triple A,Jijini Arusha.
Kipindi cha Maswali na Majibu kwa washiriki walioingia tano bora.
Washiriki wote stejini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...