Maharusi Jumaa Ibn Mohamed Hussein na Naseem Bint Midladjy Maez wakiwa katika furaha wakati wa Aqdi yao Ijumaa ilopita.
Home
Unlabelled
Aqdi za Maharusi Jumaa Ibn Mohamed Hussein na Naseem Bint Midladjy Maez
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Maashaallah mumependeza ajabu maharusi, ishallah mwenyezi mungu awajaalie ndoa yenu hii atie barka na awape kizazi chema na muzidi kupendana
ReplyDeleteawaeekee wepesi wa mambo yenu pale palipo na uzito awarahisishie amin
mdau kutoka pemba
Hongereni maharusi, mpendeze hivyo hivyo katika maisha ya ndoa. Kaka Maez wa TRL hongera kwa kuozesha.
ReplyDeleteINSHALLAH !
ReplyDeleteAMIIIIIN!
Ndoa yenu iwe na Kheir!
MA'ANSHA'ALLAH MMEPENDEZA MNO!
ReplyDeleteMWENYEZI MUNGU AWABARIKI,NA ABARIKI JUU YENU NA AWAKUTANISHE KATIKA KHERI!
MJA'ALIWE KIZAZI BORA
AHLAM UK
Hongereni sana!
ReplyDelete