Watanzania wa North Caroliana wakinunua vitu mbali mbali kutoka kwa mwanamitindo wa kimataifa aliyebobea, Asya Idarous Khamsin alipokua North Carolina kwenye mwaliko maalum kutoka kwenye jumuiya ya Watanzania wa kuko kwenye sherehe za kuadhimisha siku maalum ya kina mama Duniani iliyfanyikia Durham, North Carolina siku ya Jumamosi May 12, 2012.
 Model akipita mbele ya Watanzania wa North Carolina waliojumuika katika kuadhimisha siku ya kina mama Duniani huku akiwa amevaa mavazi kutoka kwa mbunifu gwiji la mitindo, Asya Idarous Khamsin.
Model akipita mbele huku akishangiliwa kwa nguvu zote kwenye siku hii maalum kuadhimisha siku ya kina mama Duniani iliyoandaliwa na Jumuiya ya Watanzania, NC na Asya Idarous Khamsin kualikwa kama mgeni maalum na kuonyesha Vivazi vyake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 15, 2012

    Flora Minja UPOOOOOOOOOOOOOOOOO!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 16, 2012

    BARUA YA UCHUMBA

    KWENDA KWENYE UKOO WA HAJJAT AWLAA/USTADHAT/SHEIKHATT Bibie ASYA IDAROUS KHAMSINI.

    Mimi Mdau nilishatoa kilio changu cha dhati kwa kutaka kujua kama Bibie Asya Idarous Khamsini ana (Wadogo zake wasichana, Mabinti wake au wa ndugu na Ahli zake wa karibu)

    Hii ni kutaka kupeleka ombi langu mimi Mdau na Ustaadh kama nitapata Binti kutoka katika Mlango wenu au Nasaba yenu nami nipate JIKO.

    Ninahitaji nishirikiane nanyi kwa karibu kwa vile nimevutiwa na kazi nzuri afanyayo Mamaa ASYA IDAROUS KHAMSINI ktk Tasnia ya sanaa kwa Ujumla kwa vile hata mimi nina chenga chenga za mkono wa Sanaa hasa Uchoraji.

    Natanguliza shukrani,

    Wenu Mdau,

    USTADH MOHAMED.
    DAR ES SALAAM.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...