Balozi mpya wa Tanzania nchini Misri,Mh. Mohammed Haji Hamza awasilisha rasmi Hati zake za utambulisho kwa Kiongozi Mkuu wa nchi ya Misri,Field Marshal Muhammed Hussein Tantawi katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Makao Makuu ya Wizara ya Ulinzi mjini Cairo, Misri hivi karibuni.
Mh. Balozi Mohammed Haji Hamza akipokewa kwa heshima na wenyeji wake muda mfupi kabla ya kuwasilisha Hati zake za utambulisho kwa Kiongozi Mkuu wa nchi ya Misri Field Marshal Mohammed Hussein Tantawi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 21, 2012

    Kweli kazi yetu ya ualimu imekuwa ni kazi ya malofa!! Yaani Shekhe miaka michache tu baada ya kuachana na kibarua cha chaki nha ubao umekuwa mtu wa kupigiwa saluti na majenerali na field marshal, hongera sana mwalimu Hamza!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 22, 2012

    Wenzetu maaskari wao wako fit ukilinganisha na maaskari wa bongo vitambi kwa kenda mbele

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 22, 2012

    watu wanakua na kazi zao maalum,usidhani alikua anshika chaki tu

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 22, 2012

    kazi maaluma ni waalimu walioelmika

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...