Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, katika utekelezaji wa mpango wa kazi za Ofisi za Wizara hiyo huko Ikulu Mjini Zanzibar jana ,(kushoto) Makamo wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad.
Baadhi ya watendaji wa Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar,wakiwa katika mkutano chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,mkutano huo unahusu masuala mbali mbali ya kiutendaji,katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
swala la kuchoma makanisa na vurugu ya kuvunja amani kwenu halina kipaumbele
ReplyDeletehatuutaki muungano full stop!!!!
ReplyDeleteWewe mdau unajua wanazungumza nini?
ReplyDeleteWacha fitina zisizokuwa na msingi.