Home
Unlabelled
Foleni ya leo Barabara ya Morogoro Rodi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
mazingira machafu safi
ReplyDeleteSasa si kungekuwa na jogging track hapa kwa pembeni si ingesaidia jamani...
ReplyDeleteKuchafu kweli
ReplyDeleteDa,hali inatisha kwa kwely cha kushangaza mamlaka zipo cjui zinafanya kazi gani jamani!!!
ReplyDeleteKWA KWELI HALI YA MSONGAMANO WA VYOMBO VYA USAFIRI NI MBAYA KILA SIKU KATIKA BARABARA ZOTE KUBWA KWA KUELEKEA MJINI SAA ZA ASUBUHI NA KUTOKA MJINI SAA ZA JIONI, WAHUSIKA NA MIUNDOMBINU KUNENI VICHWA KUPATA UFUMBUZI, KUMESEMWA KUNGEKUWA NA TRENI KUTOA WATU KULE KULIKO NA RELI K.M. PUGU HADI MJINI NA KURUDI LAKINI KIMYA SIJUI IMEKATALIWA NA HATUJULISHWI. MWISHO KWA SAHIHISHO LA KICHWA CHA HABARI HAPO JUU .. HILO NENO RODI LA NINI NA TAYARI NENO BARABARA LIPO????? BLOG NI YA KUELIMISHA MUANDIKE KWA USAHIHI TUNAISOMA WENGI.
ReplyDeleteWanajenga barabara ya magari yapitayo kwa kasi.
ReplyDeleteutafikiri ni dampo eti ndo mji mkubwa wa nchi aibu sana...
ReplyDeleteyaan angalia hiyo mandhari,then ndo barabara ambayo wakubwa wote wanaokaa kinondoni mbezi,kunduchi wanai2mia kuingilia posta lkn tabu 2pu cjui mamlaka zinafanya nini.
ReplyDeleteMazingira machafu ni kweli, lakini ndo bongo yetu, hakuna taratibu nk.Ila tukumbuke, usiache mbachao, kwa msala upitao.Na mdau wa jogging travk umechemsha, I would support a bicycle path.
ReplyDeleteDr Gangwe Bitozi.
Kila mtu anachugua maisha yake,na haya ndio maisha viongozi wetu wanatulazimisha tuishi.
ReplyDeleteTuna rasilimali nyingi ambazo zingetuokoa na maisha haya ya kipumbavu.