Picha ya pamoja ya Menejimenti ya Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) na Wajumbe wa Kamati ya Sayansi na Teknolojia wa Bunge la Uingereza (House of Commons), walipotembelea makao makuu ya COSTECH jijini Dar es salaamm kwa lengo la kujifunza kazi zinazofanywa na tume na pia kuona namna ya kuingia ubia na tume hiyo. 
Picha na Method Rutechura wa COSTECH

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 18, 2012

    Safi, lakini errors kibao. Tujijengee tabia ya kufanya proof reading jamani, haipendezi hata kidogo!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...