Home
Unlabelled
Lugha gongana...ama ndio mwake?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kaka, hamna kilichokosewa hapo. wazungu hawakurupuki kama sie.. hapo maana ake hicho chuo jina lake ni University of Maryland, kama unavosema Mzumbe then unamalizia na university college
ReplyDeleteMKUU HIYO SEHEMU NAIJUA SANA , WANAAITA MARRIOTT INN, NAFIKIRI HILO NENO MARRIOTT WALITAKA LIONEKANE ZAIDI, LAKINI NI MARRIOTT INN AND CONFERENCE CENTER. HIYO HOTEL IKO COLLEGE PARK NDANI YA UNIVERSITY OF MARYLAND.
ReplyDeleteok....That mean University College of Maryland University
ReplyDeletesawa kabisa marriot inn na ukumbi wa mikutano, lugha yao hakuna mushkel
ReplyDeleteUniversity nameUMUC is a college in the traditional American sense of the word, albeit one associated with a university—hence, "University College." The "University of Maryland" prefix indicates the historical entity to which the college belonged originally. In the university's name, "University College" represents "the specialized concentration on professional development," while "University of Maryland" represents the affiliation of the university with the University System of Maryland
ReplyDeletelugha gongana ni huko huko bongo....mtoa mada inaonekana huna elimu ya university kaa tulia na box lako
ReplyDelete