Baadhi ya warembo wanaoshiriki Shindano la Redds Miss Kurasini 2012 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika ukumbi wa Equator Grill, Jijini Dar es Salaam jana. Shindano la Miss Kurasini linataraji kufanyika Mei 25, 2012 katika ukumbi huo huo ambapo jumla ya warembo 16 watapanda jukwaani kuwania taji hilo.
Baadhi ya warembo wanaoshiriki Shindano la Redds Miss Kurasini 2012 wakiwa katika mazoezi yao yanayoendelea katika ukumbi wa Equator Grill, Jijini Dar es Salaam jana. Shindano la Miss Kurasini linataraji kufanyika Mei 25, 2012 katika ukumbi huo huo ambapo jumla ya warembo 16 watapanda jukwaani kuwania taji hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...