Baadhi ya warembo wanaoshiriki Shindano la Redds Miss Kurasini 2012 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika ukumbi wa Equator Grill, Jijini Dar es Salaam jana. Shindano la Miss Kurasini linataraji kufanyika Mei 25, 2012 katika ukumbi huo huo ambapo jumla ya warembo 16 watapanda jukwaani kuwania taji hilo.
Baadhi ya warembo wanaoshiriki Shindano la Redds Miss Kurasini 2012 wakiwa katika mazoezi yao yanayoendelea katika ukumbi wa Equator Grill, Jijini Dar es Salaam jana. Shindano la Miss Kurasini linataraji kufanyika Mei 25, 2012 katika ukumbi huo huo ambapo jumla ya warembo 16 watapanda jukwaani kuwania taji hilo.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...