Aliyewahi kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara miaka ya nyuma,Mh. Idd Simba (kulia) akiongea na Wakili Said Hamad El-Maamry wakati alipofikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo kujibu mashata 8 likiwemo la kudanganya, kughushi na kulitia hasara ya sh. milioni 320 Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA). Mshtakiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo pamoja na washtakiwa wengeni watatu akiwemo Diwani wa zamani wa kata ya Sinza, Salum Mwaking'nda.
mtuhumiawa mwingine katika kesi hiyo akiwa mahakamani hapo.
Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Sinza, Salum Mwaking'nda akiwa Mahamani.
yote danganya toto tu ,na muda ilitakiwa wote watuhumiwa wa mali za serikali kupigwa risasi biashara kuisha kuliko kupoteza muda usiokuwa na maana siku itakuja endeleeni labda mkimbie nchi
ReplyDeleteKinachomfurahisha huyu diwani ni nini hasa?
ReplyDeleteFuraha mpaka anatupa dole tupu!
Isije kuwa wameiba bilioni kumi lakini wanashitakiwa deni la bilioni mbili tu
Yaani hamna kitu hapa. Maneno matupu tu na mfupa ukiendelea kukomaa.
ReplyDeleteSwali kubwa najiuliza wale walioondolewa madarakani kwa ufisadi hivi majuzi wako wapi? Si humo humo wanaendelea kujisogezea. Hizo fedha zote wanazoiba zingesaidia shule, vitabu na madawati. Ila zitawatokea puani we waache tu.
Sina kumbukumbu kama TAKUKURU wamewahi kushinda kesi yoyote nzito na sababu zinajulikana, wote ni wale wale tunapoteza fedha za walipa kodi tu.
ReplyDeleteanachekelea maaana hao TUKURU wanapoteza muda wao. Tell me which Minister has been jailed for corruption? None as far as I know. Mtu akiiba mkata anafungwa 2 years. Ukiiba mabillion na wewe ni kigogo, utaachiwa tu. Waste of money kuwapeleka mahakamani. Taifisheni mali zao, au ketini nao wajieleze walipata wapi mali zote hizi- peleka jela, nchi inaliwa hiyo, hivi in 10 years time kutakuwa na kituki,mebaki?
ReplyDeleteHao CHADEMA wakiingia madarakani kwanza itabidi wajenge majela mepya maana yaliyopo yamejaa. Halafu bora yajengwe Moshi na Arusha. Maana hapa Dar hawataweza kuwalinda, wajanja wengi. Au bora waanze mradi kabisa, maana baba zenu na wajomba zenu wote wapo ambao waliowahi kwenda shule na kuelimika na waliokuwa wamejaa katika vyuo na wanaendelea kuchukua nafasi za elimu, ndio hao hao maana ndio waliokuwa wameshika nyadhifa huko maofisini na wanaendelea watoto wao kupata nafasi humo. Sisi yetu macho. Akina Idd Simba wamefungua Dimba.
ReplyDelete