Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 20 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 04, 2012

    ooh.... Kwanini isiwe "MASHEIKH WA MKOA" badala ya "SHEIKH WA MKOA"?????

    ReplyDelete
  2. Mzee MagangaMay 04, 2012

    Mbona mie mmenisahau? Mie ni Mwenyekiti wa chama cha warina asali TBR pia ni Mwenyekiti wa Chama cha waganga wa Jadi TBR.

    tafadhali wekeni jina langu

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 04, 2012

    MASWALI:

    1.Je huyo Kingozi aliyeruhusiwa kipitia mlango wa VIP akija na Mkewe ina maana atapita yeye Bosi na Mkewe HATARUHUSIWA?

    2.VIP ndani kwa ndani ya nchi, sio kwa Safari za nje ya nchi?

    3.Hao Wasimamizi watamudu vipi kuhakiki Orodha ndefu kama hiyo ya Viongozi wanaoruhusiwa?

    4.Wana uhakika gani kudhibiti watu wenye Fedha kupita hapo kwa kutumia 'chapaa' yao?

    5.Kuna uhakika gani kwamba huu sio Mpango wa kujihakikishia na kujipatia Rushwa?

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 04, 2012

    Huyo jamaa wa mwisho achaneni nae. Hajui taratibu za kazi. Mbona watu wengine wanafanya maandamano bila kuruhusiwa. Jee wanakuywa wametoa rushwa. Ni katika taratibu za kazi tu ambazo mimi na wewe tunatakiwa kuzifuata.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 04, 2012

    Na vipi kuhusu Rais na Makamo wake, Mawaziri na Manaibu wao hawa tutakanyagana nao huko "kajamba nani" au wenzetu mnatwambia uwanja wenu hawajagi watu wa hadhi hizo nilizozitaja

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 04, 2012

    Sheikh mmoja, Maaskofu WOTE! tukisema tunaambiwa hatukusoma!

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 04, 2012

    nasisitiza, kwa nini isiwe masheikh wote na maaskofu wote badala ya sheikh wa mkoa na maaskofu wote?...jamani, hapa napo inahitaji elimu ya form four ili kujua huu ni upendeleo wa dhahiri?...naomba mrekebishe hili na mtuwekee tena humu ili tujue kuwa nyie ni waadilifu. pia msiache kujibu maswali mliyoulizwa hapo kuwa mnajitengenezea mazingira ya kupokea rushwa toka kwa wenye nazo wanapotaka kupita VIP wakati hawana hadhi..

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 04, 2012

    Mpaka mshauri wa mgambo? Duh kweli bongo tambarare!

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 04, 2012

    * KAMA KUNA MAASKOFU WOTE BASI IANDIKWE PIA MASHEIKH WOTE
    * VIPI VIONGOZI WA DINI NYENGINEZO

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 04, 2012

    Naomba utawala wakae na cometie ya wabunge pia na maoni kwa jamii hili swala la VIP linaleta criminal nafikiri mmeona jinsi gani Maaskofu waliitumia hiyo chance kwa kupitisha madawa yakulevya!Nafikiri bodi ya uongozi ikae chini ichaguwe viongozi muhimu!Norway walimkatalia waziri wa south Afrika na jamii ya kinorwigian ikaona sawa sbb wako viongozi muhimu wakupita VIP sio mpaka mwenyekiti wakijiji!

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 04, 2012

    kwa nini maaskofu wote na sheikh mmoja tu!???

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 04, 2012

    Hapo haswa ndipo wanapopitisha pembe za ndovu na twiga kwenda wanakokujua, MUNGU INUSURU TANZANIA.

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 04, 2012

    Baadhi ya hao ndiyo wanapitisha madawa ya kulevya wanaotakiwa kupita VIP ni wale wenye Diplomatic passports za Tanzania na Kigeni.

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 04, 2012

    Kamanga wa polisi
    Kamanda wa magereza
    Daktari mkuu? Now you know where you are in the eyes of the public

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 04, 2012

    Hapo sasa. Elimu, uelewa, shule, mantiki. Masheikh ulinganifu wake ni mapadre. Semeni mapadre wote ndiyo itakuwa sawa na masheikh wote. Ngazi ya juu baada ya sheikh ni sheikh wa mkoa, ngazi ya juu baada ya padre ni askofu.

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 04, 2012

    kwanza hili bao lenyewe halina hadhi ya kukaa sehemu inayoitwa airport,
    hili bao tumezoea kulikuta sehemu inayouzwa chai maharage tena kwenye miaka ya 1960 sio leo hii kwa ushauri wangu hili bao badilisheni nyinyi wahusika wa hii airport

    jengine nchi hii inawadharau sana watu wa dini ya kiislamu na hapa inaonekana wazi kabisa kimaandishi sio kwa mdomo tu,

    ila kwa hivi hii dini niyahaki na unaikuta siku zote inakuja juu tu hata ikandamizwe vipi

    jaribuni kuweka equaly right kwa wote huu ni ushauri wangu, na ondoweni tafauti za dini na ubinafsi

    hili liangaliwe kuhusu sheikh na maaskofu ambao ndio wengi wao na magari ya kifaghari na majumba makubwa kwa kuuza UNGA nchi hii

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 04, 2012

    Unajua bado ninatafakari na kupata picha ya hiyo VIP LOunge ya Tabora. Kumbukumbu zangu zinanionesha kuwa uwanja wa ndege wa Tabora ni kama stendi ya basi yaani unamsindikiza mtu na kumuona mapaka anavyoingia kwenye ndege, sasa hii VIP Lounge ya nini tena?.

    Barabara ya kutokea mjini inapitia kwenye Taxi way kwanza, au VIP ni sehemu yenye AC na makochi kwa ajili ya kusubiri ndege?.

    Ninaamini kabisa aliyeandika bango hilo na mshauri atakuwa hajatoka nje ya mkoa wa Tabora na mawazo na fikra zake zimekuwa confined mkoani Tabora tu.

    Mimi kama mzaliwa wa Tabora ambaye moja ya maeneo yangu ya kuchezea yalikuwa Airport na maeneo ya masimba kwa Sizya Mlilo tupokuwa tunafuata mapera na maembe nashindwa pata picha ya hiyo VIP lounge ya Tabora.

    Itabidi this time niende Tabora kwa ndege ili nifanye utafiti zaidi huenda ndiyo maendeleo yenyewe hayo.

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 04, 2012

    Lakini wanandugu kuna maaskofu, napadri na wachungaji, wameruhusiwa maaskofu na sio mapadri na wachungaji. Naona mashehe wana usawa kama wachungaji na mapadri ila shehe wa mkoa sawa na maaskofu. Hii ni tofauti tu kimiundo.UTARATIBU HUO NI SAWA

    ReplyDelete
  19. AnonymousMay 04, 2012

    Mchapaji wa TANGAZO hili hapo Airport Tabora atakuwa ametokea Kanisani sio bure!

    Hawa watu wabaguzi wa Kidini ndio watu hatari sana ktk nchi yetu,

    KAMA KATIBA YA NCHI INASEMA TANZANIA HAINA DINI LAKINI RAIA WAKE WANA DINI, SASA ILI KUWAHESHIMU RAIA HUYU MWANDISHI KWA NINI ASISEME '''''VIONGOZI WA DINI ZOTE? '''''

    NI KWASABABU WAPO NCHINI RAIA WENYE DINI KAMA WAISLAMU, WAKRISTO ,WENYE DINI ZA ASILIA NA WASIOKUWA NA DINI KABISA.

    Kulingana na ufinyu wa akili yake ndio maana hata bango lenyewe halina hadhi kabisa ni kama bao la Maelekezo ya kufika kwa Mganga wa Kienyeji au Muuza miti shamba!

    ReplyDelete
  20. sina habariMay 04, 2012

    Mimi mbona sina dini lakini sisemi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...