Baraka Jeku ambae ni mfanyakazi wa Vodacom Tanzania pamoja na mkewe Rukia wakiwa na nyuso  za furaha baada ya kumeremeta jijini Dar es salaam. 

 Mama sasa shughuli imeisha niwakati wa kwenda kupumzika mama..alisikika Baraka akimwambia mkewe
 Baraka na mpambe wake Ibrahim Kaude
Kwaito kwa kwenda mbele wakati wa mnuso

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...