Mh Mkuchika akiwahutubia kwa nyakati tofauti wanavijiji wa Mtopwa, Idamnole, na mtongwele (hawapo pichani) jana katika siku ya tatu ya ziara yake ya siku saba ya kutembelea wilaya hiyo ambapo atahutubia vijiji 22
WAZIRI wa nchi ofisi ya Rais utawala bora, George Mkuchika ambaye pia ni mbunge wa Newala, akipokea zawadi kutoka kwa mwakilishi wa wazee wa kijiji cha Mtopwa Yusufu Livata kumpongeza kwa kuteuliwa tena kuingia katika baraza la mawaziri., mkuchika yupo katika ziara ya siku saba ya kutembelea wilaya hiyo (Picha na Hassan Simba).
ZAWADI NONO YA VITAMIN C NAKUMBUKA MAMBO YA LINDI EMBE KIBAO
ReplyDeleteHilo linaitwa pakacha
ReplyDelete