Pamoja na serikali kupitia jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani mkoani Iringa kupiga marufuku malori kusafirisha abiria bado lori hili aina ya Fuso lenye namba za usajili T367 AAQ likishusha abiria baada ya kushindwa kupanda Mlima wa eneo la Magereza wilaya ya Ludewa baada ya kuzidiwa uwezo. Picha na Francis Godiwn.
Home
Unlabelled
yale yaleeeee....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kifo hichoooo!
ReplyDeleteSiwezi kusema cha kujitakia maana wananchi hawa wanahitaji elimu ya kutosha. Vile vile inawezekana usafiri ni shida katika maeneo hayo.
If there is demand supply will have to emerge.
ReplyDelete