Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania, Bi. Diane Corner (kulia), akisisitiza jambo kwenye kikao alichofanya na Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Profesa Sospeter Muhongo (shoto) baada ya kufanya ziara kwenye Wizara. Anayeangaliana na balozi ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya madini Mhe. Stephen Maselle. Lengo la ziara yake ilikuwa ni kuimarisha ushirikiano baina ya Tanzania na Uingereza hususan katika sekta za nishati na madini.
Home
Unlabelled
Balozi wa Uingereza atembelea wizara ya nishati na madini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mbona hawa mabalozi wanatembelea wizara ya madini sana, nini agenda yao ???
ReplyDeletewewe ulitaka waende wapi? Geza ulole?
ReplyDeletehawataki kutupa visa zao ila madini yetu wanayataka
ReplyDeleteYaani ninyi mnauliza majibu???
ReplyDeleteUingereza hali ya uchumi iko kwenye tundu la choo, na Ulaya nzima.
Wako hali mbaya sana, kwasasa wanatafuta kila kona kuchuma, kuiba nk, ili waokoe uchumi wao. Watajifanya marafiki kumbe wanawavizia wawakate vichwa.
Exactly the same wakati ule wa ukoloni walipotuibia rasilimali zetu.
Tanzania iwe makini sana na urafiki huu feki, tulinde mali zetu, tusilaghaiwe kama mababu zetu.