Raisi wa Kitivo Cha Sayansi ya Jamii, Sanaa na lugha Cha Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) Mh Iddy Mohamed (Wa Kwanza Kulia) akishauriana jambo na Waziri Mkuu wa Kitivo hiko Mh Shauri Kabla ya zoezi la kuwaapisha wateule wake leo ndani ya Chuo Kikuu Cha Dodoma
 Pichani Juu Ni baadhi ya mawaziri na manaibu waziri wa wizara mbalimbali katika serikali ya wanafunzi Wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) wakati wanakula viapo mbele ya Raisi wa Kitivo Cha Sayansi ya Jamii, Sanaa na Lugha Mh Iddy Mohamed (hayupo Pichani)
Naibu waziri wa Ulinzi, Maji na Makazi Mh Amani Kizuguto Akila kiapo wakati baraza la mawaziri lilipokua likiapishwa leo Chuoni hapo
Waziri Mkuu Wa Serikali ya Wanafunzi wa Kitivo Cha Sayansi ya Jamii,Sanaa na Lugha Mh Shauri akiwa anakula kiapo mbele ya Raisi wa Kitivo hiko ( Hayupo Pichani) leo wakati baraza la mawaziri lilipokua likiapishwa leo chuo hapo.Picha zote na Mdau Josephat Lukaza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 24, 2012

    heee, ndio maana hivyo viapo watu hawavichukulii umakini manake wanaanzia chekechea.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...