MZEE ROBERT MAGWEIGA MARWA
Ni miaka miwili tokea, tarehe 16 Juni 2010, ambapo Mzee Robert Magweiga Marwa ulitutoka ghafla ukiwa una nguvu zako na tukiwa bado tunakuhitaji. Tupo nawe siku zote na unakumbukwa daima na mkeo Mwl. Immaculata Marwa wa Mwisenge-Mtakuja, Musoma, wanao Flora Rhobi Marwa na Flavian Marwa Marwa walio Washington DC, Celestine Mwita Marwa aliye Dar es Salaam, Mrs. Felister Wegesa Aiko na Mrs. Sylvia Bageni Deogratias wa Mwanza na Mrs. Diana Nchagwa Mbuya wa Musoma.

Unakumbukwa pia na wakwilima, wakamwana, shemeji zako na wajukuu walio sehemu mbali mbali Tanzania, USA, South Africa na Kenya pamoja na ndugu jamaa na marafiki.

Bwana ametoa na bwana ametwaa

Kuna ibada St. Luke Catholic Church, McLean, VA, USA na St. Peter’s Catholic Church, Oyster bay, Dar es Salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...