Home
Unlabelled
kumekucha!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ni kweli tunahitaji mabadiliko nchi hii.Lakini nyie wote ni walewale. Nimejifunza kitu upinzani ulipoingia madarakani nchi jirani ya Kenya. Vururuvururu tuu. Kaazi kwelikweli.
ReplyDeleteWenzetu wanavua Umaskini wanavaa Uchumi na Maisha bora ya kisasa, sisi tunapigana vijembe tu. Then ukishavaa uzalendo unakula au unatibiwaje? Tunaacha kuzingatia mambo ya msingi tunaleta ishu za Magamba na Magwanda. Hebu tuweni serious at least for ONE year then tujifunze.
ReplyDeleteMsemaji wa kwanza inaonyesha yeye sio mfuatiliaji mzuri wa mambo. Kenya sasa hivi wana maendelea makubwa na wanaendelea kwa kasi kubwa sana kuliko sisi tunaosema tuna amani. Madaraja ya juu ya kuondoa foleni ndani ya jiji la Nairobi yanajengwa tena kwa kasi kubwa. Hapa kwetu yako wapi licha ya ahadi hewa tu? Uwanja wa ndege Nairobi umepanua na kazi inaendelea, hapa kwetu tulikimbiza watu maeneo ya airport lakini hadi sasa lipi limefanyika?
ReplyDeleteMungu isaidie Tanzania
Kenya wako mbali. Uwanja wa ndege ni mkubwa na ulishawahi nifanya niachwe na ndege kwa sababu wan defferent terminals ukichemka imekula kwako. Imagine nimeachwa na ndege kwa sababu uwanja ni mkubwa wakati hata uwanja mkubwa duniani kama schipol hauchanganyi kama wa Nairobi. Wenzetu wako juuu inabidi tuwe na wivu tuache majungu.
ReplyDeletekazi kwenu nyote
ReplyDeleteVua Gamba vua Gwanda vua Koti la Muungano Joto limezidi.
ReplyDeletevua gamba vaa uchaga !
ReplyDeletewachaga noma tayari wamesha print tishirts na kufuma vizibao vyenye rangi ya chama chao na hapo inaonekana bidhaa ziko sokoni
ReplyDeletekibiashara zaidi halafu muwapeleke magogoni vikao vyote vinavyofanyka riverside vitahamia ikulu...
KUMEKUCHA!
ReplyDeleteNyie bakini mkilalamika tu biashara inaendelea.
ReplyDelete