Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 28, 2012

    Wasukuma tunasema "mashi ga mbuli getee genaya!"

    ReplyDelete
  2. Alau hiyo ilyotumika hapo 'B' kidogo unaweza ukasema ipo 'ambiguous' . Kwa sababu can be whatever ladie's STUFF humo ndani....LOL

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 29, 2012

    HUWA NASHANGAA KINACHOWASUKUMA WATANZANIA KUENDEKEZA UVIVU NA KUACHA KUJITUMA KUWEKA MAMBO SAWA BADALA YA LELEMAMA NI NINI? TUACHE KIJITUTUMUA KUTUMIA LUGHA AMBAYO HATUNA UJUZI NAYO. TUTUMIE KISWAHILI CHETU NA VIELELEZO ILI TUELEWEKE ZAIDI.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 29, 2012

    Kuuliza siujinga. Tuwe na tabia ya kuomba msaada pale unapoona huna uhakika. Omba watu wawili ama watatu wapitie kazi yako kabla ya weka hadharani. Maneno mengi ya kiingereza hufanana matamshi ila hutofautiana helufi.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 29, 2012

    du! tatizo za kutumia st govt school language katika mazingira tofauti

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 29, 2012

    Elimu na kutojitambua umuhimu wa lugha yetu, sasa hala hala Gents usiandike wanauume andika wanaume na kama uko shinyanga vjjn andikaga bhagoosha.

    ReplyDelete
  7. We chizi umejuaje ni TZ? mbona Kwanini sio Kenya au Uganda? unafikiri hata kenya wote wamesoma?

    Chizi kweli wewe!

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 29, 2012

    Ahahaha...kingereza ni wito!!

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 29, 2012

    kaka hapo ju unasema jamaa angeuliza watu wawili ua hata watatu lakini nauna na wewe pia huna tabia ya kuuliza ,neno la mwisho haliandikwi-helufi- bali ni herufi.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 29, 2012

    nyie mnaocheka walioandika mlisha kutana na Wajamaika naamini kila mtu aliyekutana nao kwa mara ya kwanza ilikuwa kazi kweli kweli kuwaelewa kwa mara ya kwanza, yaani mi nilikuwa nawakimbia na bahati mbaya nilikuwa nafanya nao.

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 30, 2012

    Mdau wa Fri Jun 29, 10:23:00 PM 2012

    Si vyema kujitetea kufanya makosa kwa kuwa wengine wanakosa. Wajamaika wakiwa wanaharibu au kutojua kiingereza vizuri haimaanishi kwamba na watanzania nao waige

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...