Mhadhiri Mwandamizi ambaye pia ni Mkuu wa wilaya Mbeya,Dkt. Noman Sigalla akitoa mada kwenye hoteli ya Golden Rose mjini Arusha leo iliyohusu Uwazi na Uwajibikaji wa Viongozi na watendaji wa Serikali katika kusimamia Rasilimali za Umma ulioandaliwa na Muungano wa Asasi sizizo za kiraia mkoa wa Arusha(Angonet)
Wafanyakazi wa Kituo cha Sunrise Radio FM cha mjini Arusha,Severinus Mwijage,(kushoto)Kessy Lukumay na Khamis Abtway aka Dj Hazoo wakiwa makini kuhakikisha matangazo ya moja kwa moja yanaenda hewani ipasavyo kwenye Mdahalo kuhusu Uwazi na Uwajibikaji wa Viongozi na watendaji wa Serikali katika kusimamia Rasilimali za Umma uliondaliwa na Muungano wa Asasi zisizo za kiraia mkoa wa Arusha(Angonet)leo.
Viongozi waserikali za mitaa kutoka halmashauri tatu za Arusha vijijini, Meru na Manispaa ya Arusha wakiwa kwenye Mdahalo kuhusu Uwazi na Uwajibikaji wa Viongozi na watendaji wa Serikali katika kusimamia Rasilimali za Umma ulioandaliwa na Muungano wa Asasi zisizo za kiraia mkoa wa Arusha(Angonet) leo mjini Arusha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 05, 2012

    uwazi gani na huku wananchi.go.tz hawataki kujibu kero zetu AU haifanyi kazi: Imekufa!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...