Tamasha la kila mwaka la Mtemi Milambo limezinduliwa leo tarehe 1/6/2012 mkoani Tabora ambapo Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mh. Fatma Mwassa katoa wito kwa wananchi kuuenzi utamaduni wao kwani msahau kwao ni mtumwa.
Tamasha hili linafanyika katika viwanja vya shule ya
Uyui Tabora tarehe 1-2, Juni,2012.
Pichani juu ni Mkuu wa mkoa wa Tabora Mh. Fatma Mwassa akijiandaa kurusha mshale juu kama ishara ya uzinduzi rasmi wa Tamasha hilo. Pembeni yake kulia ni Chief Promotions MD Bw. Amon Mkoga.
Tamasha hili linadhaminiwa na TBL kupitia bia ya Balimi,Airtel, Swiss Cooperation, TTB, Channel Ten, Michuzi Blog na Magic FM.


Swali Wadau ni Mirambo au Milambo?
ReplyDeleteMtemi MIRAMBO, aka Mtyela Kasanda, he was a tough chief, rulling between 1860 and 1884, Henry Morton Stanley dubbed MIRAMBO "The African Bonaparte" for his military talents and ability.He was blocked the gold trade routes, and the price of Gols soared world wide.Mirambo died at the tender age of 44 due to ill health.He was probably strangled, as it was the old NYAMWEZI custom to strangle their Mtemi when they become unfit to rule.
ReplyDeleteDr Gangwe Bitozi.
Anony wa kwanza jibu sahihi ni Mirambo.... Milambo kwa Kinyamwezi ina maana tofauti... Ina maanisha mizoga! Watu wamekuwa wanachanganya mno na hata ile timu ya mpira ilikuwa inakosewa kwa kuitwa Milambo badala ya Mirambo
ReplyDelete