Kundi la THT wakishirikiana na Wanne Star wakitoa burudani wakati wa mnuso ulioandaliwa kwa wajumbe na wageni wa Mkutano Mkuu wa Bodi ya Magavana wa Benki ya Maendeleo ya Afrika katika hoteli ya Ngurdoto Mountain lodge jijini Arusha usiku wa kuamkia leo
JK akisalimiana na baadhi ya wageni waalikwa kwenye hafla hiyo
JK akisalimiana na vijana wa Arusha wakati wa hafla hiyo
The Kilimanjaro Band 'Wana Njenje' wakitoa burudani katika mnuso huo
Baadhi ya wageni waalikwa kwenye mnuso huo
mnuso kweli huo,kuleni dunia bado mpo
ReplyDelete