Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 11, 2012

    dj luke hii poa sana clip ya dr ramadhani mwiru, nakushukuru sana kwa kuweka hii kitu je mtu ukitaka kuwasiliana naye unampata pataje?

    na chapili nina swali langu anajua kwamba ukimwi dawa imeshapatika lakini kwa manufa ya watu fulani wameamua kutoitoa hii dawa ili watu wapungue duniani, kitu hichi ni kweli kabisa na nina ushahidi nacho nina documents kibao nilizozisoma

    na anajua kwamba ukimwi virus zake zimetengenezwa huku huku majuu na kusambazwa Africa ili tupotea, ukipata muda mkuu hebu muulize please

    mdau New York

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 11, 2012

    safi sana dr ramadhani mwiro wewe ni ngayo yetu na mungu akujaliye masomo mema na kila la kheri hapa duniani na kesho akhera na please tukitaka contact zako tutazipata je michuzi mulize muhusika

    na muulize katika utafiti wake amegundua au amesoma mahali kwamba ukimwi dawa yake ipo its true ipo lakin watu hawataki kutoa kwa manufaa yao

    na jambo la pili ni kwamba huu ukimwi amegundua kwamba virus ile tengenezwa huko alipo anaposoma

    weke hii comment mkuu please

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 11, 2012

    Ndugu yangu Mwiru, PhD. ni international degree umeshindwa kuielezea namna gani baadhi inawachukua miaka 3 na wengine 5. Ukweli ni kwamba, sheria inaruhusu mwanafunzi wa PhD kusoma kati ya kipindi cha miaka 3-5. Zaidi ya hapo chuo kinapaswa kufuta usaili wa mwanafunzi. Suala la miaka mitatu au mitano ni suala ya posho ya kujikimu na sio shule yenyewe.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 11, 2012

    USHAURI MDOGO NA WA MSINGI KWA DJ LUKE:

    Interview zako ZINABOOOOOA but you can improve them.SIjafuatilia sana lkn hizo chache nilizionagalia 1.sikuwahi hata kufuatilia mpaka mwisho kwa sababu haiwi intresting.Unapofanya interview ndefu kama hii jiandae,angalia mifano documentaries za CNN.
    2.Unapoanza kabla hatujafika historia fupi ya unayemuuliza hakikisha UNATUCONVINCE audience tuendelee kumsikiliza,niliangalia hile ya DMK hata sikumaliza DK 1.
    3.IGa from experts, edit video zako,mifano mingi tunaiona cnn, this is too much ukimaliza interview edit your video na kupangilia vitu muhimu na interesting facts ili kupata attention ya audience, YANI KWA KIFUPI HIZI VIDEO HARAKA HARAKA ANAYEANGALIA HAJUI ZINAMUONGELEA MTU (ILI TUWE INSPIRED) AU ZINAONGELEA KAZI ANAYOIFANYA.Either way they are both good ideas ila zinahitaji kutengenezwa vizuri ziweze kuwa effective.
    Hayo machache tu naaamini u are working on it ila nimeamua niandike ili uone kuwa na sisi tunaliona hilo tatizo.
    All the best.
    Mdau Ohio

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...