Mshindi wa Kinyang'anyiro cha Redd's Miss Tabata 2012,Noela Michael (katikati) akiwa pamoja na mshindi wa pili,Diana Simon (kushoto) na wa tatu,Wilhemina Mvungi (kulia) muda mfupu baada ya kumalizika kwa kinyang'iro hicho,usiku huu kwenye Ukumbi wa Da' West Park,Tabata jijini Dar.
 Tano Bora.
 Kumi Bora.
 Washiriki Wote wakipita kwenye steji.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 02, 2012

    Westernization of Africa, so very Sad, no longer "msuko wa twende kilioni", "Kilimanjaro", "Vitunguu"nk, all these bl..dy fake hair extensions,I never thought this will happen in my life time, but it is happening now.Where is the truly black beauty gone?, I wonder if anyone is using "mafuta ya nazi", any how, may be I am old fashion, but I call myself traditionalist, God bless Africa, God Bless Tanzania.
    Dr Gangwe Bitozi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...