Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Rais wa Somalia,Mh. Sheikh Shariff Ahmed aliyekutana naye leo june 2, 2012 jijini Arusha.Pamoja na mambo mengine Rais Kikwete na mgeni wake waliongelea hali ya usalama katika nchi hiyo ya pembe ya Afrika na pia akamhakikishia Rais huyo ushirikiano wa kila aina katika kuhakikisha utulivu unarejea nchini Somalia.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mgeni wake Rais wa Somalia,Mh. Sheikh Shariff Ahmed aliyekutana naye leo june 2, 2012 jijini Arusha.PICHA NA IKULU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...