Wanachama wa CCM tawi la DMV tunaungana na watanzania wenzetu popote duniani kutoa salamu  Za rambi rambi kwa wanachama wa chama cha chadema kwa kuondokewa na kiongozi wao  mheshimiwa Bob Makani.

Mheshimiwa, Bob Makani atakumbukwa kwa hoja zake za kuchangia mambo mbali mbali yaliyoweza kulijenga taifa la Tanzania. Wanachama wa chadema wameondokewa na kiongozi imara katika safu za vyama vya upinzani.

Sisi wanancham wa CCM tawi la Washington, DC Maryland na Virginia tunatoa salamu za rambi rambi kwa ndugu wa marehemu na wanachama wa chadema    popote duniani.

Poleni sana
Katibu wa ccm
Tawi la ccm-DMV
Yacob Kinyem
Marekani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...