NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI KWA MWENYEZI MUNGU KUTUWEZESHA KUFIKA HAPA TULIPO NA LEO KUTIMIZA MIAKA 6 KATIKA NDOA YETU IlLIYO FANYIKA TAREHE 24. JUNE 2006 MBEZI BEACH DAR ES SALAAM. PIA NAPENDA KUTOA SHUKRANI ZA PEKEE KWA WANA KAMATI NA WOTE WALIOSHIRIKI KATIKA KUFANIKISHA HARUSI YETU.

                                         KWA NIABA YA FAMILIA YA 
                          DANI MAFURU NASEMA AHSANTENI SANA SANA!


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 25, 2012

    Hongereni sana Wadau Dani na Anna pia Mungu awasaidie zaidi!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 25, 2012

    Hongereni sana Mr & Mrs Mafuru. Mungu awatangulie katika ndoa yenu na muishi kwa upendo, amani na furaha. Tunawatakia maisha mema ya ndoa. Muwalee watoto wenu katika maadili mazuri!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 25, 2012

    yyani miaka 6 ndo mmeshabadilika hivyo???????

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 25, 2012

    ASANTE SANA , HONGELA NDUGU!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 25, 2012

    6 years ya ndoa naona inajieleza yenyewe...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...