Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwa katika Mazungumzo na balozi wa Marekeni hapa nchini Mhe. Alfonso Lenhardt alipo mtembelea Ofisini kwake Dodoma leo.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akimsikilza kwa Makini Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Prof. Jumanne Maghembe alipo mtembelea Ofisini kwake Dodoma leo
Naibu Spika wa Bunge akiwa katika amzungumzo na Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Prof. Jumanne Maghembe alipo mtembelea Ofisini kwake Dodoma leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 13, 2012

    Never seen a speaker so busy. Does anyone know the speaker of UK, Kenya etc. I think she is doing too much. There needs to be a job description for her. I grew up in Bongo in the 70s, We never heard of the Speaker.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 13, 2012

    Hivyo viti wanakalia hata White House USA hawana. Bongo tunavyotumia hela ya umma utafikiri hakuna kesho wala wajukuu zetu. Unnecessarily overworking to show off?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 13, 2012

    Hatuna waziri wa Maji na Umwagiliaji kwa sasa Maghembe ni wa Maji. Umwagiliaji umerudi kilimo kama idara na hausikiki kama ulivyokuwa maji ingawa upo.

    sesophy

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...