Home
Unlabelled
stesheni ya relwe dar es salaam ilivyo leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Wadau wote tunapenda kuona hilo ila matransporter walishawatuliza watendaji wa wizara ili biasha yao ishamiri na wazidi kutuharibia barabara.Biashara yao itashamiri kwani gharama za kusafirisha mizigo kwa reli ni 1/3 ya gharama ya kusafirisha kwa barabara.Sasa nilitegemea huyu Waziri wa Mawasiliano angeanza huku na Tazara kuliko kwenda kufukuza watu ATCL bila kufanya utafiti kwanza na kusikiliza majungu ya watu waliomizwa na menejiment ya ATCL kuleta ndege bila kuwashirikisha (hivyo kushindwa kuweka chajuu kwenye bei ya kulease) na kitendo cha kutengeza Dash 8-Q300 hapahapa TZ badala ya kuipeleka South ambako wangeweka cha juu na kuvuta mkwanja wao.
ReplyDelete