Mkutano wa Nane wa Bunge unatarajiwa kuanza tarehe 12 Juni, 2012 na kumaliza shughuli zake tarehe 22 Agosti, 2012. Mkutano huu utakuwa na shughuli mbalimbali kama vile Kiapo cha Utii kwa Waheshimiwa Wabunge wateule, kujadili Makadirio ya matumizi na mapato ya serikali kwa mwaka wa fedha 2012/2013, Maswali kwa Waziri Mkuu na Maswali ya kawaida pamoja na chaguzi mbalimbali ili kujaza nafasi zilizoachwa wazi baada ya uteuzi wa Mheshimiwa Rais kwa baadhi ya wabunge kuingia katika Baraza la Mawaziri.


Kupata taarifa kamili BOFYA HAPA


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...