Afisa Uhusiano Wa TFDA alikabidhi zawadi kwa niaba ya Mamlaka Hiyo katika kituo cha guardian Angel.
Pichani ni baadhi ya zawadi zilizotolewa katika vituo vya watoto yatima vya Kijiji cha furaha cha mbweni na kituo cha Guardian Angel cha Mbezi juu,jijini Dar es Salaam. Zawadi Hiyo zimetolewa Kama mwendelezo wa utaratibu uliowekwa wa kuchangia watumishi pamoja na uongozi wa Mamlaka wa kukumbuka Jamii iinayoizunguka TFDA. Jumla ya thamani ya zawadi zote ni Tsh. 4100,000.
Hapa ni mwakilishi wa Kijiji cha furana akipokea zawadi. Kituoni hiki kina watoto wapatao 110 ambao hutunzwa hap a. Bi. Gaudensia Simwanza alikabidhi zawadi kwa kituoni honcho.
Mlezi wa kituoni akiwa na baadhi ya watoto baada ya kupokea zawadi katika Kijiji cha furaha Mbweni
toeni misaada ambayo ni endelevu kwa watoto ,hasa ELIMU ya hawa watoto ndio kitu cha msingi sana ,taasisi kubwa kama TFDA yeye ''wasomi'' lukuki ilibidi waone mbele zaidi ya Chakula cha leo na kesho ,waanzishe ''mfuko wa Elimu ya watoto Yatima'' na sisi wengine tungechangia,ungekuwa endelevu,hizi za kutoa mchele ili upige picha sioni kama zinasaidia sana.............chakula yes ni muhimu ila tungalie Future jamani.
ReplyDeleteNawapa changamoto
Mdau