Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Chokocho Idrisa Daudi Ame (Kushoto) akipokea mfuko wa saruji kutoka kwa mkuu wa Kanda ya Zanzibar inayohusiha mikoa ya Lindi na Mtwara Bw. Hussein Nguvu kama ishara ya kupokea vifaa hivyo. Kulia ni meneja wa TTCL Pemba Bw. Alphonce Gakwavu.
Mkuu wa Biashara kanda ya Zanzibar bw. Hussein Nguvu (Kulia) akimkabidhi sehemu ya Nondo Mwalimu mkuu wa Skuli ya Chokocho Idrisa Daudi Ame.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...