Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Chokocho Idrisa Daudi Ame (Kushoto) akipokea mfuko wa saruji kutoka kwa mkuu wa Kanda ya Zanzibar inayohusiha mikoa ya Lindi na Mtwara Bw. Hussein Nguvu kama ishara ya kupokea vifaa hivyo. Kulia ni meneja wa TTCL Pemba Bw. Alphonce Gakwavu.
Mkuu wa Biashara kanda ya Zanzibar bw. Hussein Nguvu (Kulia) akimkabidhi sehemu ya Nondo Mwalimu mkuu wa Skuli ya Chokocho Idrisa Daudi Ame.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...