Bango la matangazo baada ya dakika 90
Wachezaji pamoja na viongozi wa Ethiopia  katika benchi la ufundi wakifurahia ushindi wa timu yao

Hekaheka wakati wa mchezo wa kufuzu fainali za mataifa ya Afrika kwa wanawake uliofanyika kwenye Uwanja wa Tanifa jijini Dar es Salaam leo. Ethiopia imeshinda 1-0 na kuitoa mashindanoni timu ya Tanzania a.k.a Twiga Stars. Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...