Cane na Mganga wakijiandaa kuingia kwenye ukumbi wa kulia nondozzz wa  Verizon Centre jijini Washington Dc 
 Mdau Cane Mwihava akisheherekea na dada yake Neema bada ya kula nondozzz zake
 Mdau Mganga na familia yake wakisheherekea baada ya kuchukua nondozzzz zake
 Wadau Cane Mwihava na Mganga Muhombolage wakiwa na Neema baada ya kukamata nondozzzz zao kutoka chuo kikuu cha Strayer University, Washington Dc.
Mganga Muhombolage akiwa na kaka yake aliyesafiri kutoka Tanzania kushuhudia mahafali hayo ya Chuo kikuu cha Strayer University. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 25, 2012

    KennyBoy - Braku! Congrats for your achievement, wishing you the best in your future endeavours. Obed, Leah, Liz and Christian.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 25, 2012

    Cane!!!!kaka hongera sana am happy for your achievement.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...