Wanyange wa miss Arusha walipotembelea kampuni ya bia TBL jjini hapa na kujionea jinsi kiwanda kinavyozalisha vinywaji aina tisa ikiwemo bia ambayo ipo karibuni kuingia sokoni ya Faru imbayo utengenezaji wake umeanza jana 
 Mashindano ya mwaka huu ya REDS miss Arusha yanatarajiwa kufanyika kwenye ukumbi wa Mount Meru hotel Jijini Arusha hapa warembo wakijifunza mambo ya uzalishaji kwenye kiwanda cha bia TBL  na wameahidi kuwa REDS MISS TANZANIA mwaka huu atatoka kanda ya kaskazini na si vingine  Picha na Mahmoud Ahmad, Arusha

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...