Meneja Uendeshaji wa Kampuni ya Scania nchini Tanzania, Mark Cameron(kushoto) akimkabidhi bendera ya Taifa dereva, ErasmusMtui ambaye ni mshindi wa mwaka 2011nchini Tanzani anayekwenda kwenye mashindano ya Dunia ya Bingwa wa Mabingwa yanayotarajiwa kufanyika Afrika Kusini.Makabidhiano hayo yalifanyika makao makuu ya ofisi za Scania Dar es Salaam.
Home
Unlabelled
Dereva Bora wa mwaka 2011 kushiriki Mashindano ya dunia ya madereva
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ohh God in the Heaven guide this person so that he can do well on his competition. He is such a nice and kind person. All the best!!!!!!!!!
ReplyDeleteHuyu bwana apel;ekwe training la sivyo hawezi kabisa kushindana kimataifa, udereva siyo tu kuendesha gari na kuliongoza barabarani, kuna vitu vingi vya displine na ufundi amabavyo ni lazima vizingatiwe. Je huyu bwana anaweza kutumia winchi kupandisha mzigo? Je mzigo ukikaa vibaya naweza kuuweka katikakati vizuri kwa kutumia winchi na ujuzi wake? Namtakia heri lakini pia apewe mafunzo ya ziada.
ReplyDelete