MAKAMU wa Pii wa Rais wa Zanzibar, Bozi Sef Ali Idd (kulia) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Dk.Ramadhan Dau aliyefka ofisini kwake Vuga kumpa pole kwa ajali ya Meli ya Mv.Skagit iliyotokea wiki iliyopita karibu na Kisiwa cha Chumbe.(Picha na Haroub Hussein).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 24, 2012

    sasa leo DG hakuna kanzu na baraghashia?

    hongera kwa kutoa milioni 10 kwenda kwa wahanga wa ajali

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 24, 2012

    NSSF ni wakati sasa wa kuwekeza kwenye usafiri wa majini DSM - Unguja- Pemba kwani wanachamana wenu ni wahanga wa ajali hizi.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 25, 2012

    Kwani wewe hapo juu kanzu yake inakuuma nini? kakuzidi kwa mengi sio mavazi tu? kalagabaho/

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...