Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Lindi Bw Hijob Shenkalwah akionyesha kwa Furaha Ngao ya MSHINDI WA KWANZA Katika kutekeleza sheria ya Manunuzi ya Umma mwaka 2010/2011 iliyotolewa Baada ya Halmashauri hiyo kutangazwa na Kukabidhiwa na Waziri Mkuu katika Sherehe za kitaifa za siku ya Serikali za Mitaa PICHA NA ABDULAZIZ VIDEO-LINDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...